MAADILI YETU
  • Uaminifu Kibiblia, Uadilifu, Kuwajibika kijamii, Ushirikiano kama timu, Uvunaji kimkakati, Uwezeshaji wa uongoziUkuhani kwa waumini wote, Uwajibikaji wa usimamizi wa fedha, Ukuaji kimkakati, na Ubora.
MAONO YETU

Nukuu

Uamsho ni Ajenda yetu.

Rev. Dktr Barnabas MtokambaliASKOFU MKUU

Saa ya Uamsho ni Sasa.

Rev. Joseph MalwaKATIBU MKUU

Habari za Hivi Karibuni

SEMINA ZA ILI

Semina za ILI zinatarajiwa kuanza hivi karibuni hivyo basi viongozi na wanachama wote wanaotakiwa kuhudhulia msipange kukosa.

Limetolewa na Ofisi Kuu

Matukio ya Hivi karibuni kwa mwezi huu

Mafunzo ya Bezaleli

Kwenye semina za uongozi za ili kutakua na Mafunzo pia kuhusu Mfumo wetu wa Bezaleli hivyo basi Kamati za Sehemu, Kamati za Idara Sehemu na Jimbo mnahimizwa kuhudhulia.

soma zaidi
27 - 31 Ma

Semina ya Uongozi ya ILI

Kutakua na Semina ya Uongozi ya ILI zitakazofanyika CCT, Morogoro hivyo basi Waalimu wa Vyuo Mama na Wenza Wao wanahimizwa kufika bila kukosa.

soma zaidi