Miaka kumi na tatu ya Moto wa uamsho tunamtaka Bwana na nguvu zake

Ijue Idara ya Maombi TAG
Idara ya Maombi Kitaifa ilianzishwa Rasmi mwezi septemba mwaka 2021, wakati wa uongozi wa askofu Mkuu Dr. Rev. Barnabas Mtokambali, kutokana na Lengo Mkakati (A2) la Miaka 13 ya Moto wa Uamsho, Unatoa ufafanuzi kwamba idara ya Maombi imeanzishwa na Viongozi wa Idara wamepatikana. Lengo Kuu la Idara hii ni kuona kanisa lote tumeshika silaha hii kubwa ya Maombi ambayo ndio itakua Kichocheo kikubwa cha kusababisha uamsho wa kweli utokee.

cas logo

Akawaambia mfano ya kwamba Imewapasa kumuomba MUNGU siku zote, wala wasikate tamaa.

- Tembelea tovuti yetu kwa maelezo zaidi -

Habari za Hivi Karibuni

SEMINA ZA ILI

Semina za ILI zinatarajiwa kuanza hivi karibuni hivyo basi viongozi na wanachama wote wanaotakiwa kuhudhulia msipange kukosa.

Limetolewa na Ofisi Kuu

Matukio ya Hivi karibuni kwa mwezi huu

Mafunzo ya Bezaleli

Kwenye semina za uongozi za ili kutakua na Mafunzo pia kuhusu Mfumo wetu wa Bezaleli hivyo basi Kamati za Sehemu, Kamati za Idara Sehemu na Jimbo mnahimizwa kuhudhulia.

soma zaidi
27 - 31 Ma

Semina ya Uongozi ya ILI

Kutakua na Semina ya Uongozi ya ILI zitakazofanyika CCT, Morogoro hivyo basi Waalimu wa Vyuo Mama na Wenza Wao wanahimizwa kufika bila kukosa.

soma zaidi